Saturday, September 10, 2011

MNYALU AKANUSHA KUHUSIANA KUWA NA STUDIO MBEYA!

ishu iliyokuwepo kitaa kuhusiana na baadhi ya wasanii kudai wamerekodi ngoma zao katika studio ya mike t iliyopo jijini mbeya imegundulika kuwa si kweli kwani mike t alipotupiwa swali kama anamiliki studio ndani ya mbeya alikanusha vikali na kudai ana studio morogoro iitwayo myke rec na dizinga ni show biz defined inayo deal na vedeo na sio mbeya. so sio issue kwa washkaji wanao inuka katika redio stations mbalimbali jijini mbeya na kudai wamefanya track katika studio ya mnyalu iliyopo mbeya......

mnyalu!