Saturday, September 10, 2011

SALHA ISRAEL ALAMBA MKOKO WA VODACOM JANA NIGHT!

bidada salha israel aibuka mshindi wa shindano la miss tanzania 2011 hapo jana usiku.watu kibao walikuwa happy baada ya salha kutangazwa mshindi kutokana na kuwashika raia na swaga zake.

MH! HILI TABASAMU ALIJUA YEYE NI MSHINDI NI NN? teh teh teh