Tuesday, April 10, 2012

JIANDAE KWA MECHI KALI KATI YA WATANGAZAJI MBEYA NA WATUMA SALAMU SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 14 KTK KIWANJA CHA SOKOINE

siku ya jumamoc itakua poa saana kwani ni mechi kali sana itapigwa pande za sokoine kati ya watangazaji na watuma salamu mchezo ambao mshindi ataibuka na zawdi ya mbuzi mkubwa mwenye thamani ya shilingi elfu 80 za kibofongo!!!!!!!!!!!!!!!! watangazaji kibao kutoka redio stations mbali mbali watahusika,MBEYA FM,SWEET FM,HIGHLANDS FM,ROCK FM,GENERATION FM,BARAKA FM,BOMBA FM NK.......... USIKOSE KIINGILIO BUREEEEEEEEEEEEEEEEE!!!